Posts

Ligi kuu msimu ujao wa 2021/2022 ni ngumu

Image
KIUNGO wa Simba, Clatous Chama 'Tripple C' amesema kuwa msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakuwa na ushindani kutokana na jinsi unao fanywa na timu mbalimbali hapa nchini. Chama ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye mtandao wa Instagram akiwa live na ametoa nafasi kubwa kwa timu ya Azam FC, kufanya vizuri msimu ujao kutokana na usajili wanaoendelea kuufanya mpaka sasa..

Musoma Online Shop

Image

Simba yaweza cheza mechi mbili kwa wakati mmoja

Image
     Timu ya Simba imeonekana kuwa bora zaidi hasa kutokana na kutokuwa na kikosi kimoja cha kwanza hii imejizihirisha katika mechi mbili ilizocheza ambazo ni ile ya mbao fc na ile ya toto katika meshi ya za nyuma combination iliokuwa ikianza ni ile iliopachikwa jina la KIAMA yaani Kichuya, Ajibu na Mavugo ila mechi ya Toto Simba walianza na combination ambayo mashabiki wa timu hiyo tayari wameipachika jina la IBM yaani Ibrahim,  Blagnon pamoja na Mzamiru yasini huku Kichiya akipewa majukumu ya kuilisha Combination hiyo.      Hata hivyo katika pambano hilo kati ya Simba na Toto Shiza Kichuya alitoka na nafasi yake kuchukuliwa na Hamisi ndemla mabadiliko ambayo yalizidi kuliweka lango la Toto katika wakati mgumu zaidi na kujizihirisha kuwa licha ya Combination ya KIAMA basi IBM nayo inamakali sawa na combination tulio izoea kwa jina la KIAMA hivyo laiti Sheria za Soka zingekuwa zinaruhusu basi Simba inayo uwezo wa kucheza mechi mbili kwa wakati mmoja na ikaibuka na ushindi mnono kw

Ligi kuu Vodacom kutimua Vumbi wikiendi hii

Image
     Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania inatarajiwa kuendelea wikiendi hii katika viwanja vinne tofauti nchini, viwanja vitatu   vitatimua vumbi kesho jumamosi, na mchezo mmoja kuchezwa siku ya jumapili. Jumamosi vinara wa ligi hiyo wekundu wa msimbazi Simba   watakua wenyeji wa wakatamiwa wa   Kagera sugar   mchezo utakao pigwa katika uwanja wa taifa wa zamani alimaarufu shamba la bibi, huku wakata miwa wa Mtibwa Sugar wakiwakaribisha maafande wa Tanzania Prisons   katika uwanja   wa Manungu-Turiani Mkoani Morogoro, Huku   Toto Africa wakiwakaribisha vibonde wa ligi kuu Majimaji kutoka Songea        Siku ya jumapili kamera zote zitakuwa katika uwanja wa   Taifa wa zamani kushuhudia mpambano kati ya wenyeji   wana lambalamba   Azam fc   wakiwakaribisha wazee wa jangwani YANGA   mchezo huo unatarajiwa kuwa mgumu kwa pande zote mbili ukizingatia timu ya Azam   bado inauguza jeraha iliopata toka kwa Stendi united chama la wana baada ya kufungwa na tumu hiyo goli moja kwa bila. Mchez

Ally Mayai afafanua goli la ajibu na kumtupia lawama mshika kibendera

Image
Mchambuzi wa soka katika kituo cha Luninga cha Azam tv amemtupia lawama mshikakibendera na kudai goli alilofunga mshambuliaji wa Simba Ibrahim ajibu hakuwa ameotea,Mchambuzi huyo ameendambali zaidi na kudai wakati umefika sasa kwa clip kama hii kutumika ili kuwaadhibu waamuzi ambao wamekua ndio chanzo cha kuharibu mchezo wa mpira kwa maamuzi tata wanayo yatoa.

Shiza Kichuya na kona ya Mwendokasi

Image
Mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba imemalizika kwa sare ya goli moja kwa moja , Mechi hiyo iliopigwa katika dimba la taifa , Mchezo huo uliotawaliwa na ubabe, Mwamuzi   Martin Sanya alimzawadia kadi nyekundu nahodha wa Simba Jonas Mkude   baada ya nahoza huyo kumsukuma  muamuzi wa pambano hilo kutokana na kutokua makini katika mchezo huo kwa kulikubali goli la yanga liliofungwa na mshambuliaji Hamisi tabwe dakika ya 27 kipindi cha kwanza baada ya kuunawa mpira huo kabla ya   kuutumbukiza nyavuni mpira   huo, Goli hilo lilipelekea mpira kusimama zaidi ya dakika saba baada ya mashabiki wa simba kuanza kung`oa viti na kuvitupa uwanjani .           Vuruguhizo zilipelekea jeshi la polisi kutumia nguvu ya ziada kwa kufyatua mabomu ya machozi ili kuweka mambo sawa na baada yahali kuwa shwari mpira uliendelea na mpaka kipindi cha kwanza kinamalizika yanga walitoka uwanjani wakiwakifua mbele kwa goli moja , Kipindi cha pili kilianza kwa kasi kwa timu zote kufanya mashambulizi ya